Friday, August 22, 2014


 
Kocha Msaidizi wa Tanzania XI, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ (kushoto) akizungumza na nyota wa zamani wa Real Madrid, Fernando Sanz Duran. 
 Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akizungumza na waandishi wa habari jana (hawapo pichani). Wa kwanza kulia ni nyota mwingine wa Real Madrid, Christian Karembeu na katikati ni mratibu wa ziara ya wanasoka hao, Mkurugenzi wa Kampuni ya TSN, Farough Baghozah.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog