Friday, June 20, 2014



Suarez baada ya kuimaliza England kwa bao 2-1.Luis Suarez akishangilia bao lake baada ya kuifungia Uruguay kwa bao la kichwa katika kipindi cha kwanza dakika ya 39 baada ya kupata ushirikiano mzuri  kutoka kwa Edinson Cavani. Dakika ya 75 Wayne Roone ndie aliyeisawazishia bao England baada ya mabeki wa Uruguay kujisahau na hatimaye Glen Johnson kumsogezea mpira Roone na kufunga bao hilo. Bao hilo la Rooney halikuweza kudumu kwani dakika ya 85 Luis Suarez aliwachoma bao jingine England na kuwapatia Ushindi Uruguay na mpira kumalizika wakiwa wababe kwa bao hizo mbili zilizofungwa na mchezaji mmoja Suarez kwa matokeo ya 2-1.Patashika..Kipindi cha kwanza
VIKOSI:
Uruguay:
Muslera, Gimenez, Godin, Caceres, Pereira, Lodeiro, Gonzalez, Arevalo Rios, Rodriguez, Cavani, Suarez.
Subs: Munoz, Fucile, Gargano, Hernandez, Forlan, Stuani, Perez, Ramirez, Coates, Maxi Pereira, Silva.

England: Hart, Baines, Cahill, Jagielka, Johnson, Gerrard, Henderson, Sterling, Rooney, Welbeck, Sturridge.
Subs: Foster, Wilshere, Lampard, Smalling, Jones, Milner, Lambert, Lallana,
Barkley, Shaw, Forster.
Referee: Carlos Velasco Carballo (Spain)
Wayne Rooney ndani kucheza nafasi ipi usiku huu..kati au pembeni?

Luis Suarez baada ya kuukosa mtanange wa kwanza leo hii  ndani  Uruguay ikiumana na England usiku huu

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog