Friday, May 9, 2014



Screen Shot 2014-05-09 at 6.19.50 PM 
Ni abiria zaidi ya 50 walionusurika kwenye hii ajali ya basi la Dar Express lililokua likitokea Dar es salaam kwenda Nairobi leo May 9 2014 ambapo lilipofika Msata karibu na daraja la Wami lilipata ajali baada ya kupasuka tairi la mbele kushoto na kisha kupinduka.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog