Thursday, March 20, 2014

SAM_2237  
Hawa jamaa wanapokuja na njiwa au kuku uwanjani wanamaanisha nini?, au ndio mikwara kwa wapinzani?. Lakini njiwa hawa huwa hawaonekani pale timu inapofungwa.SAM_2239 SAM_2240Unaanzaje kumwambia shabiki kama huyu, mwenye mapenzi makubwa na klabu yake ahamie timu nyingine. Lakini wapo watu wanaendesha klabu watakavyo, wanasahau kuwa kuna uwepo wa watu wenye hisia kali kama huyu jamaa. 
Unamtesa sana unapoleta longolongo nyingi kwenye mambo ya msingi yahusuyo timu. Usishangae kumuona kazimia au kazirai kwasababu ya mtu mmoja kuharibu mambo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog