Wednesday, March 19, 2014


Narrow miss: Moyes has to be alert to avoid being hit in the face with a ball during training
Wachezaji wa Man utd wakiwa mazoezini pamoja na kocha mkuu David Moyes. Mazoezi haya ni ya mwisho mwisho kabla ya kukutana na Olympiacos usiku wa leo. United itaingia uwanjani ikiwa nyuma kwa magoli 2-0 baada ya kukubali kipigo kwenye mechi ya awali nyumbani kwa Olympiacos. Ili kupita kwenda hatua inayofuata United wanatakiwa kushinda magoli 3-0 jambo ambalo linawezekana kwa timu kama Manchester United. Washabiki na wachambuzi wengi wanakubali kuwa United ya sasa sio kama ya zamani, lakini wanaamini kuwa wachezaji waliopo kama kocha atachagua kikosi kizuri basi Olympiacos lazima walie. Uzito wa mechi ya leo unaongezeka zaidi baada ya taarifa kuanza kuzagaa kuwa kibarua cha kocha David Moyes kitakua kwenye joto kali kama United watashindwa kusongambele kwenye michuano hii. Hali hii inakuja kutokana na ukweli kwamba Man utd wamepoteza nafasi ya kushinda vikombe vyote ndani ya England na Uefa champions ndiyo kombe pekee lililobakia kwa Moyes kuonesha muujiza. Usikose kuangalia mechi ya leo saa nne dk 45 usiku. 
Manchester United's manager David Moyes trains with his team Manchester United's English striker Wayne Rooney slides to tackle David Moyes
Tongue-tied: Moyes looked in a relaxed mood as he took the training session on TuesdayCountdown: United face a tough test against Olympiacos as they bid to overturn their first-leg defeatAll smiles: United have played down reports of a rift between Moyes and player-coach Ryan GiggsManchester United's Japanese midfielder Shinji Kagawa and striker Danny Welbeck David Moyes heads a ball during a training sessionSliding in: Despite being sent off after conceding a penalty against Liverpool, Nemanja Vidic didn't hold back
Adnan Januzaj will look to be United's creative force at Old Trafford Juan Mata is cup-tied for United's clash with OlympiacosMain man: United will look for Robin van Persie to rediscover his shooting boots to keep their Euro dream aliveUnder fire: Marouane Fellaini has struggled to cope with the step up in class since joining UnitedAll together now? United put on a show of solidarity ahead of their clash with Olympiacos

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog