Tuesday, February 25, 2014




Kocha David Moyes na Wayne Rooney wakizungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusu mtanange wao wa leo na Olympiacos. Utakaopigwa usiku leoRooney anataka timu yao ishinde na yeye binafsi anasema yupo fiti na yuko tayari kushirikiana na wenzake kuifunga timu ya Olympiacos.

Fowadi wa United Danny Welbeck, Rooney na Javier Hernandez wakifanya mazoezi jana..jumatatu!
Danny Welbeck akiwa na wachezaji wenzie jana kwenye mazoezi tayari kwa mtanange wao na Olympiacos huko ugenini Chris Smalling, Rio Ferdinand na Marouane Fellaini kwenye mazoezi...
Michuano ya UEFA CHAMPIONS LIGI inaendelea tena leo Jumanne na kesho Jumatano wiki hii kwa Mechi nyingine za kwanza 4 za Raundi hiyo ambapo Timu mbili za England, Mabingwa Manchester United na Chelsea, zitakuwa Ugenini kuanza kampeni zao.
Wiki iliyopita, Timu nyingine mbili za England zilianza vibaya kwa zote kufungwa Mechi zao za Nyumbani wakati Man City walipochapwa kwao Etihad 2-0 na Barcelona na kumaliza Mechi wakiwa Mtu 10 baada ya Beki wao, Martin Demichellis, kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu. 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog