Saturday, February 15, 2014


 
 
Kubwa kwenye mechi hizo ni Big Match mbili leo Jumamosi na ile ya Jumapili ionayokumbushia mechi za Ligi Kuu ya England watu kutaka kulipizana kisasi. Leo Jumamosi, huko Etihad, Manchester City wataikaribisha Chelsea huku wakikumbuka kufungwa na Chelsea Bao 1-0, wiki iliyopita kwenye Mechi ya Ligi na Jumapili, ndani ya Emirates, Arsenal, watawaalika Liverpool ambao Jumamosi iliyopita waliinyuka Arsenal 5-1 huko Anfield kwenye Mechi ya Ligi.

 
  FA CUP
Raundi ya Tano
RATIBA:
Jumamosi Februari 15

Sunderland v Southampton
Cardiff v Wigan
Sheff Wed v Charlton
Man City v Chelsea


Jumapili Februari 16
Everton v Swansea
Sheff Utd v Nottm Forest
Arsenal v Liverpool

Jumatatu Februari 17
Brighton v Hull

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog