Friday, January 3, 2014

Mitanage raundi ya tatu ya Kombe la zamani kabisa Duniani, FA CUP, zitachezwa Wikiendi hii, Jumamosi na Jumapili, na hii ndio hatua ambayo Klabu za Ligi Kuu England ndio zinaanza Mashindano haya huku BIGI MECHI ni ile Dabi ya London Kaskazini itakayochezwa Jumamosi Uwanjani Emirates kati ya Arsenal na Tottenham.
Mabingwa wa England, Manchester United, Jumapili watakuwa kwao Old Trafford kucheza na Swansea City na Siku hiyo hiyo Chelsea wako Ugenini kuivaa Derby County na Man City wako Ugenini Siku ya Jumamosi kucheza na Blackburn Rovers.
Jumapili, Liverpool watakuwa Anfield kucheza na Mshindi kati ya Oldham.
Awali kulikuwa na Raundi zilizoshirikisha Timu za Madaraja ya chini na hata Timu ambazo hazipo kwenye Ligi rasmi.

Timu ambazo hazimo kwenye Ligi na ambazo zimetinga Raundi ya Tatu ni pamoja na Grimsby Town, Kidderminster Harriers na Macclesfingeld Town.
RATIBA RAUNDI YA TATU
Mapema JUMAMOSI
15:45 Blackburn v Manchester City
Mechi zote zinazofuata ni Saa 18:00
Bournemouth v Burton
Ipswich v Preston
Grimsby v Huddersfield
Brighton v Reading
Everton v QPR
Bolton v Blackpool
Macclesfield v Sheffield Wednesday
Aston Villa v Sheffield United
Norwich v Fulham
Charlton v Oxford United
Wigan v MK Dons
Rochdale v Leeds
Newcastle v Cardiff
Southampton v Burnley
Stoke v Leicester
Doncaster v Stevenage
Kidderminster v Peterborough
West Brom v Crystal Palace
Middlesbrough v Hull
Southend v Millwall
Bristol City v Watford
Liverpool v Oldham
Yeovil v Leyton Orient
Barnsley v Hartlepool au Coventry
2015 Arsenal v Tottenham
Jumapili Januari 5
1500 Nottingham Forest v West Ham
1700 Sunderland v Carlisle
1715 Derby v Chelsea
1800 Liverpool v Oldham
1800 Port Vale v Plymouth
1930 Manchester United v Swansea

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog