Wednesday, December 18, 2013


Kocha wa muda wa Spurs Tim Sherwood
Kocha wa muda Tim Sherwood alipofika uwanjani na kocha mwenzake Chris Ramsey kushoto
Kipindi cha pili dakika ya 67 Emmanuel Adebayor akawapatia bao Spurs
.
Ndani ya dakika 5 za kipindi cha pili na dakika za lala salama West Ham wakasawazisha na kuwaongezea tena bao Spurs, Bao zikifungwa dakika ya 80 na Matthew Jarvis na dakika ya 85 mfungaji ni Modibo Maíga.
In the stands: Tottenham chairman Daniel Levy (centre) keeps an eye on proceedings at White Hart Lane
Mwenyekiti wa Tottenham chairman Daniel Levy (katikati) White Hart Lane akijionea kibano kingine tena kwenye uwanja wao
 
P

 
Adebayor hoi

RATIBA
ROBO FAINALI

Jumatano Desema 18
Stoke 0 v Man United 2
Tottenham 0 v West Ham 2

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog