Monday, December 16, 2013

After school bash!! tamasha kubwa la kila mwaka ,linalokuwa
 linawaunganisha wanafunzi  Town baada ya shule zao 
kufungwa hivyo kupata fursa ya  kujumuika  pamoja, pia  kuwakutanisha na wasanii
 wanaowapenda ,limemalizika

 usiku huu..WCB president na team yangu yoote tulikuwepo
 na tukawapa kile walichokikosa kwa mda 
mlefu wakiwa busy na masomo...
angalia baadhi ya picha za matukio hali ilivyokuwa


 





 My brother on one n two,Romy Jones


love from the heart...........


0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog