Baada ya Nigeria kuongoza kwa baadhi ya watu wake wengi kumiliki magari
ya bei mbaya, sasa kenya wasema kua nao hawapo nyuma. Nimebahatika
kuipata picha ya gari aina ya Aston Martin DB 9 yenye thamani ya
$300,000 za kimarekaniau milioni 483 za kibongo. Bado haijajulikana gari
hiyo hasa inamilikiwa na nani lakini imeonekana ikikatiza mitaa ya
nairobi,
0 maoni:
Post a Comment