Tuesday, October 8, 2013


Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Fimbo Butallah (kulia) akionyesha fomu za kujiunga na Tamasha la Mitindo kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini lijulikanalo kama Redd's Uni-Fashion Bash kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi rasmi Tamasha hilo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Mahusiano wa Kampuni hiyo,Edith Mushi.

Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Edith Mushi (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza zawadi za Washindi mbali mbali Watakaoshiriki kwenye Tamasha la Mitindo kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini lijulikanalo kama Redd's Uni-Fashion Bash.Tamasha hilo limezinduliwa leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,Fimbo Butallah

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog