Tuesday, October 8, 2013


Sijuhi itakuwaje??
Vincent Kompany, Nahodha wa Manchester City na Mchezaji wa Belgium, atakuwa nje ya Uwanja kwa Wiki hadi 4 baada ya kuumia Nyonga kwenye Mechi ya Wikiendi City walipoifunga Everton Bao 3-1.
Pia, maumivu hayo yatamfanya akose Mechi muhimu za Man City ambako yeye ndio nguzo kubwa kwenye Difensi na Mechi hizo ni za Ligi dhidi ya West Ham, Chelsea na Newcastle, na ile ya UEFA CHAMPIONS Ugenini huko Urusi watakapocheza na CSKA Moscow.

Vicent Kompany chini wakati anauguza majeraha yake wikiendi iliyopita wakati wanacheza na Everton ambapo City walishinda 3-1.Kazi ipo kwa City bila Kompany.
Belgium training
Wachezaji wa Belgium wakifanya mazoezi, akiwemo mchezaji wa  Chelsea Eden Hazar.
Eden Hazard Eden Hazard akionesha mambo yake wakati wa mazoezi hivi karibuni.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog