Wednesday, September 25, 2013

UDAKU WA USAJILI
article-2424444-1BE2CFB3000005DC-104_634x970
Winga wa nchi ya Wales Gareth Bale, 24, 
alipanda ndege kurudi toka Hispania na kuzungumza na
  Manchester United kabla ya kukamilisha uhamisho 
wake wa kuvunja rekodi wenye thamani ya £86m kwenda Real Madrid.
 431174_526661757361058_2029326973_n
Manchester United, Chelsea, Arsenal na 
Tottenham wanaweza kuhusishwa na wasiwasi wa
 hatma ya Andrea Pirlo akiwa Juventus
. Kiungo huyo Muitaliano, 34, anaweza kuruhusiwa
 kuondoka mwezi januari endapo Klabu
 hiyo yaya jijini Turin haitamwongezea mkataba.
 Valais Cup 2013 - OM-FC Porto - 20130713 - Eliaquim Mangala
Chelsea wanataka kumsajili Beki 
wa Porto Eliaquim Mangala, 22, katika dirisha
 la usajili la mwezi Januari. Klabu ya Monaco
 pia wameonyesha nia ya kutaka
 kumsajili Beki huyo wa kati wa Kifaransa.
 rafael
Beki wa Manchester United Rafael,23, 
anafikiria kurudi Brazil, akiwa na  Corinthians
 klabu ambayo Beki huyo wa kulia anaweza kuhamia.
 César_Azpilicueta_Chelsea_vs_AS-Roma_10AUG2013
Athletic Bilbao wameonyesha nia ya kutaka 
kumsajili beki wa Chelsea Cesar Azpilicueta
 mwezi Januari. Beki huyo wa Kihispania, 24,
 amecheza mechi moja tu akitokea benchi msimu huu.
 hinteregger060312apa726
Arsenal na Juventus wameonyesha kuvutiwa na
 Beki wa Red Bull Salzburg mwenye
 asili ya Austria Martin Hinteregger, 21.
UDAKU MWINGINE
article-0-07418B06000005DC-80_306x395
Meneja wa zamani wa  Brighton Gus Poyet amefanya
 mazungumzo na Mmiliki wa Sunderland Ellis 
Short kuhusu kuwa mbadala wa
 Paolo Di Canio ndani ya dimba la Stadium of Light. Steve McClaren na 
Tony Pulis pia wako katika mbio za kugombania hiyo kazi.
 Manchester City v Liverpool - Premier League-1572822
 Kocha wa zamani wa Manchester City  
Roberto Mancini yupo kayika nafasi nzuri kuwa
 mbadala wa Fatih Terim ndani ya Galatasaray.
 Chris-Hughton-Norwich-2012
Meneja wa Norwich Chris Hughton anaweza
 kufukuzwa kazi ikiwa timu yake itafungwa na Stoke Jumapili.
 FBL-FRA-LIGUE1-PSG-BREST
Mshambuliaji wa Sweden Zlatan Ibrahimovic, 31
, atakuwa anapata mshahara wa jumla ya kitita cha
 £12.6m kwa mwaka, badala ya mshahara wa £11.6m,
 baada ya kuongeza mkataba na Paris St-Germain.
luis-suarez-celebrates-at-anfield-620-987991160
Meneja wa Liverpool Brendan Rodgers amesema hatasita
 kumtumia Mshambuliaji Luis Suarez dhidi ya
 Manchester United ndani ya  Old Trafford siku ya
 Jumatano baada ya kufungiwa mechi kumi.
 Cristiano-Ronaldo-celebrates-a-goal-with-team-mate-Gareth-Bale-2281212
Gareth Bale amepanga kwenye nyumba ya Kaka nchini 
Hispainia. Real Madrid walimpatia Bale mkataba wa
 makubaliano na Kiungo huyo wakibrazili, 31, ambaye amerudi AC Milan.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog