Wednesday, September 11, 2013

 
Baada ya miaka miwili ya mipango na 
ujenzi, hatimaye jumba la kifahari la mcheza
 kikapu mwenye mafanikio na jina 
kubwa kutoka marekani, Michael Jordan 
 limekamilika. Mansion 
 hiyo iliyojengwa South Florida 
 imekamilika ikiwa na thamani 
ya dola za kimarekani 12.4 milioni.
Ona picha zaidi za Mansion hiyo:
 
Michael Jordan ni mcheza kikapu wa siku nyingi katika ligi ya NBA nchini Marekani, baadhi ya timu alizowahi kuchezea ni Chicago Bulls na Cleveland Cavaliers. Kwa sasa MJ ni mjasiriamali akimiliki hisa nyingi na pia ni mwenyekiti wa timu ya mpira huo ya Charlotte Bobcats.
Michael anatajwa na website ya NBA kuwa ni mcheza kikapu mkubwa ambae hajawahi kutokea, yaani "Greatest basketball player of all time"

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog