Sunday, September 22, 2013

Warembo waliobahatika kuingia kumi bora

 
Tano bora ya Redd's Miss Tanzania 2013




Hii ndio tano bora ya Redd's Miss Tanzania 2013
. Je nani hapa ataondoka na taji, gari na
 kitita cha Milio ni 8? Warembo hao
 kutoka kushoto ni Happiness Watimanywa (Miss Photogenic),
 Elizabeth Pretty, Clara Bayo (Miss Sports Women), Lucy Tomeka na Latifa Mohamed.
 
Fainali za Miss Tanzania 2013 ndio zinaendelea usiku huu ndani ya Mlimani City jijini Dar es Salaam. Gari ndo hilo hapo Je nani ataingia ndani na kuliendesha? Tusubiri Majaji. Hadi sasa Top 5 ndo ishatajwa.




Onyesho la Redd's Miss Tanzania 2013 
Live kutoka Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam usiku huu

Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2013 
wakiwa jukwaani usiku huu wakati wa Onyesho
 la Taifa la Urembo linalofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.



Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2013
 wakifungua shindano la mwaka huu kwa
 kuonyesha ufundi wao wa kucheza muziki. Shindano
 la mwaka huu ambalo
 limedhaminiwa na kampuni ya vinywaji Tanzania.Tanzania
 Breweries Limited kupitia kinywaji 
cha Redds limefanyikia katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar-es-salaam. Jumla ya warembo 30 kutoka mikoa mbalimbali,vyuo nk wameshiriki.







Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2013




 
Mshindi wa Redd's Miss Tanzania 2013
 Happiness Watimanywa katikati akipungia
 mkono mara baada ya kutangazwa mshindi 
usiku huu kushoto ni pili Latifah Mohamed na kulia ni mshindi wa tatu Clara Bayo.
 
 wakipita jukwaani na mavazi ya aina mbali mbali 
wakati wa Onyesho la Taifa Redd's Miss Tanzania 2013
 linalofanyika usiku huu kwenye
 Ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam usiku huu.

Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa Kizazi kipya
 hapa nchini,Lady Jay Dee akitoa burudani kwenye
 Onyesho la Redd's Miss Tanzania 2013,linalofanyika
 hivi sasa kwenye Ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog