Friday, October 23, 2015


www.bukobasports.com
LIGI KUU VODACOM
MATOKEO:
Alhamisi Oktoba 22

JKT Ruvu   0 v Mtibwa Sugar 0
Mwadui FC 3 v Mgambo JKT 1
Mbeya City 1 v African Sports 0
Ndanda FC  0 v Azam FC 1

VPL, Ligi Kuu Vodacom, imeendelea tena Leo kwa Mechi 4 na 

Azam FC wameikamata Yanga kileleni kwa Pointi baada ya kuifunga Ndanda FC Bao 1-0.
Bao pekee la Azam FC lilifungwa Dakika ya 70 na Shomari Kapombe kwenye Mechi iliyochezwa huko Nangwanda Mtwara.
Ushindi huu umewafanya Azam FC wafikishe Pointi 19 sawa na Vinara Yanga lakini wao wanakaa Nafasi ya Pili kwa vile Yanga wana Goli nyingi.
Huko Mwadui, Shinyanga, Wenyeji Mwadui FC wameichapa Mgambo Shooting Bao 3-1 kwa Bao 2 za Jerry Tegete na Jamal Mnyate huku Abuu Daudi akiwapa Mgambo Bao lao pekee.

Kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, JKT Ruvu ilitoka 0-0 na Mtibwa Sugar wakati huko Sokoine, Mbeya, Bao la Geofrey Mlawa limewapa Mbeya City ushindi wa Bao 1-0.

LIGI KUU VODACOM
MATOKEO:
Jumatano Oktoba 21

Yanga 4 v Toto Africans 1
Stand United 3 v Majimaji 0
Tanzania Prisons 1v  Simba 0
Coastal Union 1 v Kagera Sugar 0

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog