Friday, October 23, 2015


Dakika ya 37 Emre Can aliwasawazishia bao Liverpool kwa kufanya 1-1 na mtanange kwenda mapumziko wakiwa sare, Kipindi cha pili pamoja na Timu ya Rubin Kazin kucheza kwa pengo la mchezaji mmoja aliyetolewa  kwa kadi nyekundu, Liverpool hawakuweza kuifunga timu hiyo na hatimaye waliweza kusawazisha tu na mtanange kumalizika kwa dakika 90 kwa nguvu sawa ya bao 1-1.Marko Devic akipongezwa na wenzie baada ya kuwafungulia bao kwa kufanya 1-0 dhidi ya Liverpool.Marko Devic akimnyamazisha Kocha wa Liverpool Klopp
VIKOSI:
Liverpool XI:
Mignolet, Clyne, Skrtel, Sakho, Moreno, Can, Allen, Milner, Lallana, Coutinho, Origi
Akiba: Bogdan, Toure, Benteke, Firmino, Lucas, Ibe, Randall
Rubin Kazan XI: Ryzhikov; Kuzmin, Nabiullin, Kverkvelia, Kambolov, Carlos Eduardo, Ozdoev, Karadeniz, Georgiev, Devic, Kanunnikov
Akiba: Lemos, Portnyagin, Haghighi, Bilyaletdinov, Cotugno, Dyadyun, Akhmetov

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog