Monday, October 19, 2015




  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika kijiji cha Nkome.
  Wakazi wa jimbo la Buchosa wakishangilia jambo wakati Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akijinadi mbele yao kuomba kura za kutosha ifikapo Oktoba 25 kwenye uchaguzi mkuu
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa jimbo la Buchosa mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.
 Wakazi wa jimbo la Buchosa wakishangilia jambo wakati Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akijinadi mbele yao kuomba kura za kutosha ifikapo Oktoba 25 kwenye uchaguzi mkuu
Wakazi wa jimbo la Buchosa wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli uliofanyika mapema leo asubuhi kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akimnadi Mgmbea Ubunge jimbo la Buchosa,Dkt Charles Tizeba mapema leo asubuhi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza
 Magufuli akiwasili kwenye mkutano wa kampeni,Nyehunge jimbo la Buchosa mapema leo mchana huku akishangiliwa .
 Dkt Magufuli akiwasalimia wananchi wa Nyehunge jimbo la Buchoasa kwenye kutano wa kampeni wilayani Sengerema.
.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Kamanga mapema leo asubuhi aliposhuka akitokea mkoani Mwanza kuelekea wilayani Sengerema kuendelea na Mikutano yake ya kampeni
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa kijiji cha Lwezera mara baada ya kupokelewa na viongozi mbalimali wa chama cha CCM mkoa wa Geita,akielekea jimbo la Geita Vijijini kuhutubia wananchi kwenye kutano wa kampeni
 Wanamsikiliza Mgombea Urais wa CCM alipokuwa akimwaga sera zake kwa wakazi wa kijiji cha Lwezera,Geita vijijini

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog