Wednesday, October 28, 2015


Loic Remy akiisaidia Chelsea kusawazisha kwa kufanya 1-1 na mtanange kwenda dakika 1201-0 Jonathan Walters akiifunga Chelsea dakika ya 52 kipindi cha pili, katika dakika za majeruhi Loic Remy ameisawazishia Chelsea bao na kufanya 1-1 na mpira kwendelea katika dakika za ziada 30 kwenye Uwanja wa Britannia Stadium huku Stoke wakiwa pungufu 10 uwanjani baada ya mwenzao Phillip Bardsley kupata kadi nyekundu dakika ya 90.Hali tete!!Diego Costa aumia na kutolewa nje
VIKOSI:
Chelsea starting XI

Begovic, Zouma, Cahill, Terry, Baba, Ramires, Mikel, Willian, Oscar, Hazard, Diego Costa.
Stoke City starting XI

Stoke City starting XI
Butland, Bardsley, Shawcross, Wollscheid, Muniesa, Whelan, Adam, Afellay, Arnautovic, Diouf, Walters.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog