Monday, August 17, 2015


Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff Hamad akimlaki mgombea urais kupitia Ukawa Edward Lowassa wakati alipowasiri visiwani Zanzibar kusawaka wadhamini wa kumdhami ikiwa sehemu ya masharti ya kugombea urais katika uchaguzu mkuu oktoba 25 na 26 mwaka huu.
Mwenyekiti mwenza wa Ukawa James Mbatia naye akilakiwa na Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff Hamad leo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog