Thursday, June 4, 2015

MATUKIO YA MAZISHI YA MHE. SAMWELI NTAMBALA LWANGISA LEO JUMATANO JUNI 3, 2015 KITENDAGURO-BUKOBA. MAMIA WAJITOKEZA KUMUAGA!

Na Faustine Ruta, Bukoba
Mamia ya Waakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa leo Jumatano juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na Mji wa Bukoba. Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera) Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.

Mbunge wa muleba kusini Prof Anna Kajumulo Tibaijuka
Baadhi ya Viongozi wa dini(katikati) ni Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini
Taswira za picha enzi ya uhai wa Marehemu Mhe. Samuel LuangisaMerehemu Samwel Lwangisa alizaliwa mwaka 1932 na mauti yalimkuta New York Marekani tarehe 25.05.2015 na kuzikwa leo Jumatano juni 3, 2015 Nyumbani kwake Kitendaguro Bukoba.
Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini

Mwanae na Marehemu akitoa neno lake
Wanakwaya Mbalimbali walihudhuria Mazishi hayo
(katikati) ni Mzee Masabala

Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mhe. Samuel Ntambala Luangisa
Kushoto ni Mkuu wa Mkoa Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella akiwa sambamba na Mbunge wa Bukoba Mjini kwa tiketi ya CCM, Khamis Sued Kagasheki katika Mazishi Mhe. Samwel Ntambala Lwangisa leo Nyumbani kwake KItendaguro Nje kidogo ya Mjini wa Bukoba. Picha na Faustine Ruta

Le Mutuz nae alikuwepo katika Mazishi hayo ya Mhe. Samweli Ntambala Lwangisa.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog