Monday, March 16, 2015


Baadhi ya Wachezaji wa Chelsea akiwemo Terry wakiwa vichwa chini baada ya kugawana pointi na Sant'sMpaka dakika zinayoyoma ilikuwa ni 1-1John Terry akiwa hoi!!Dakika ya 19 Southampton walisawazisha bao kwa penati kupitia kwa Mchezaji wao Dusan Tadic na kufanya 1-1. 1-1Dusan Tadic hakufanya makosa!Kipindi cha pili pamoja na kwamba kilikuwa cha kushambuliana hakuna aliyeliona lango la Mwenzake. Chelsea wakiwakosa kosa mara kadhaa Saint's.John Terry hapa alikosa bao wazi..Hapa ni England Diego Costa!!Chelsea Chupuchupu wapate bao hapa...mpira uligonga nguzoKashikashi ilitokea ndani ya eneo hatari la penati na Southampton mchezaji wake kuangusha na hatimae kupata penati na  kusawazisha kwa mkwaju huo wa penati kupitia kwa Dusan Tadic.Kipindi cha kwanza dakika 11 Diego Costa aliipatia bao kwa kichwa Chelsea na kufanya 1-0 dhidi ya Southampton.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog