Friday, September 12, 2014


Oscar Pistorius has been found GUILTY of the manslaughter of girlfriend Reeva Steenkamp
Oscar Pistorius amekutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp

MWANARIADHA  Oscar Pistorius anakabiliwa na kifungo gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Jaji wa mahakamu kuu ya Afrika kusini, Thokozile Masipa mapema laisema siku ya wapendanao 'Valentine Day' mwaka jana, Pistorius alimpiga risasa mpenzi wake huyo.
Mara zote Pistorius amekuwa akikiri kuhusika na kifo chake nyumbani kwake mjini Pretpria, lakini alisema hakukusudia kumpiga risasi mpenzi wake na  alimpiga risasi nne kwa bastola yake.
Oscar Pistorius arriving in the dock as he awaited the second day of his verdict
Oscar Pistorius akiwasili mahamani siku ya pili leo kujibu mashitaka yake 

Judge Thokozile Masipa declaring that Pistorius was found not guilty for premeditated murder on Thursday+11
Jaji Thokozile Masipa akitangaza kuwa Pistorius hajakutwa na hatia ya kuuza kwa kukusudia jana alhamisi.

Mwanariadha huyo alikuwa anakabiliwa na kesi ya kuua kwa kukusudia, lakini ushindi juu ya hilo haukujitosheleza.
Kwa mara ya pili leo, Pistorius  alisimama kizimbani kujibu shitaka lake, lakini hakuonekana kuwa na hisia zozote.
Jaji Masipa aliiambia mahakama: " Kwa kuzingatia ushahidi wote uliowasilishwa katika mahakama: Kosa la kwanza, muuaji hajakutwa na hatia ya kuua kwa kukusudia na anaachiwa huru kwa hilo".
"Badala yake amekutwa na hatia ya kuua"

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog