Monday, August 4, 2014


Kocha mpya wa Uholanzi Guus Hiddink amemteua Pierre van Hooijdonk kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya nchi hiyo. 
Pia Hiddink amemwambia nahodha wa timu hiyo Robin van Persie kupatana na Pierre van Hooijdonk ambaye waligombana wakati wa fainali za kombe la dunia, wakati Pierre van Hooijdonk aliposema Van Persie hafai kucheza kwenye mchezo wa mshindi wa 3 kutokana na kutokuwa na kiwango kinachostahili.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog