Sunday, July 13, 2014




Msanii mkongwe kwenye game la Bongo Fleva anajulikana kwa jina la Prof Jay leo mchana alikuwa akishoot video yake mpya aliyomshirikisha Diamond inaitwa KIPI SIJASIKIA. Video hiyo iliyokuwa ikishutiwa pale Sinza Makaburini ilipo Mahakama. Video imesimamiwa wa Dir Adam Juma kutoka Next Level

Prof Jay akiwa na Prod P Funk Majani,

DJ Choka akiingia mahakamani

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog