Sunday, June 22, 2014

WORLD CUP 2014: NIGERIA 1 vs BOSNIA-HERZEGOVINA 0, PETER ODEMWINGIE AWAPATIA USHINDI NIGERIA..

1-0, Peter Odemwingie kushoto akishangilia bao lake lililotosha kuwapatia alama 3 muhimu na kuwawezesha kuwa na jumala ya pointi 4 na wako nafasi ya pili kwenye kundi lao na mtanange ujao kwa Nigeria ni jumatano tarehe 25 saa moja kamili.Peter Odemwingie dakika ya 29 aliifungia bao timu yake baada ya kazi nzuri ya Emenike kwa kuwakacha mabeki wa Bosnia na kumpa pasi Odemwingie na kufunga bao huku wachezaji wa Bosnia wakishindwa kuamini bao hilo.
Mchezaji wa Bosnia midfielder Izet Hajrovic akipitwa na mchezaji wa Nigeria difenda Juwon Oshaniwa na kwenda eneo la hatari la kipa na kugawa pasi kwa Peter Odemwingie

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog