Tuesday, February 18, 2014


Siku ya leo Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam ilikuwa ikimsomea shitaka mwigizaji maarufu wa Bongo Movie, Elizabeth Michael LULU la kuua bila kukusudia msanii wa maigizo Steven Kanumba mnamo April 07 mwaka 2012 eneo la Vatican Sinza jijini Dar es salaam.
Lulu akiwa na Dr.Cheni pamoja na mama yake mahamani
Hata ivyo wakili anayemtetea LULU, Peter Kibatala alisema kwamba wameridhishwa na sehemu kubwa ya maelezo ya awali ya mteja wao ambapo kesi hiyo imeahirishwa mpaka itakapopangwa tena huku kila upande ukitarajia kuleta mashahidi watatu.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog