Wednesday, January 22, 2014


hh
Wanamuziki wa kizazi kipya wanaendelea kufanya mambo mazuri  kutokana na kipato wanachopata kwenye muziki.
Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
David amenunua nyumba hiyo ambayo ataifanyia ukarabati ilikufikia kiwango anachokitaka yeye na kuhamia baadae.
Hizi ni ndiyo picha alizo-share Young D leo asubuhi.
y3
y1
y2

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog