Tuesday, December 17, 2013

Mwanamuziki Fid Q akizikonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza
 

Young Killer
Young Killer akifanya makamuzi ya nguvu ndani ya CCM Kirumba jana.
H-Baba akikamua katika Tamasha kubwa la Ujasiriamali uko mwanza
...H-baba akiwasalimia mashabiki
Msanii Jitaman  akifanya yake jukwaani jijini mwanza
Mkurugenzi wa Global Publishers na Street University, Eric Shigongo 

 

Mbunge wa (Chadema), Mheshimiwa Joseph Mbilinyi 'Sugu', akiwafundisha wananchi wa Mwanza.
 
 
 

Joseph Mbilinyi 'Sugu' akipozi na H-Baba.
Tamasha kubwa la Ujasiriamali lililofikia tamati jana jioni katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza lilitawaliwa na elimu pamoja na burudani kali kutoka kwa wasanii Fid Q, H-Baba, Young Killer na Jitta Man. Kwa upande wa injili, burudani hizo ziliongozwa na Martha Mwaipaja na Emmanuel Mgaya 'Masanja Mkandamizaji. Walimu wa ujasiriamali nchini, Eric Shigongo na James Mwang'amba wakiwa sambamba na Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Mhe. Joseph Mbilinyi 'Sugu' walitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Mwanza na kuwaacha wakiwa wameiva kwenye masuala hayo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog