Monday, September 16, 2013

Tukiingia eneo la tukio sambamba with my blood.Rommy J.
 Siku ya Jumamosi usiku ilikuwa ni hitimisho la tour ya
 washindi wa Kili music awards,ambapo inshu nzima ili hapen kwenye viwanja 
vya Leaders club,Dar es salaam.President 
wa WCB Wasafi nilikuwepo pia,niliitumia fursa hiyo
 kukata kiu ya wapenzi wa music wangu,nikiwa sambamba na
 team yangu yoote ya WCB tukafanya unyama wetu...tazama baadhi ya picha za kile nilichokifanya nikiwa sambamba na mwanangu,Nay mwenye mitego yake
Back stage na mwanangu Mujeda,Nay wa Mitego&Rommy J

Dullah planet.akinikaribisha on stage ...........

Nyomi ya watu ikisubili toto la kimanyema  nipande kwa stage..noma kweli

Haya sasa.......!!!

Mdogo mdogo mashetani yakaanza.....

Umati kama huu unatia hamasa right??

Na tulewe wote sasa..............

Hawa watoto ninapokuwa nao baaasi..lazima kila kitu kiende sawa

Imma akiongoza jahazi mdogo mdogo......
  






Add caption

Hawa watoto mashetani ya kikwao yakiwapanda tuu..........

Imma,Dummy,Rama mpauka na Moze Iyobo kwa mbalii

Tuimbe wote sasa

Anaitwa Imma Platnumz.......



Ile michezo yetu  ya kuringa ringa sasa











Amekaa..hajakaaa?

Aaah!!hayo matusi bwana.........!!







Ha ha ha h ,add caption..

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog