Friday, September 20, 2013

Ray J aliwajia juu polisi akiwatuhumu kufanya utani kwenye mwili wa Whitney Houston baada ya muda mfupi kufariki walipoukuta mwili wake ndani ya Hoteli imeripoti TMZ.
Ra J ambae alikuwa anamahusiano ya kimapenzi na marehemu Whitney miezi michache kabla ya umauti kumkuta. Nje ya hoteli ambayo alifariki polisi na wanahuduma ya kwanza walifanya ujinga wao ndani ya hoteli hiyo, channzo kimoja ambacho kilikuwepo eneo la tukio kinasema Ray J alisikia polisi hao wakimkejeli marehemu Whitney Houston ikifuatiwa na vicheko vya nguvu ilimuuma sana Ray J ndipo alipojaribu kuingia kwa nguvu ndani ya chumba hicho lakini walimzuia

Chanzo cha stor hii kinasema Ray J alijaribu kuingia kwa nguvu kwenye chumba hicho baada ya kusikia vicheko zaidi akashindwa kuingia tena ndipo alipotolewa kabisa kutoka kwenye ile floor aliyekuwepo marehemu.

TMZ ndio walioripoti  kifo cha Whitney
usiku ule na mtu mmoja wa karibu na Whitney kwa hasira alikuwa akilalamika kwa familia na watu wengine kwamba watoa huduma ya kwanza walikuwa wakiongea maneno ya kejeli kwa  mwili wa marehemu Whitney

Taarifa zetu zinaonekana kuwa na uhakika kwa askari wa Beverly Hill ambae amefunguliwa kesi na CA Labor Dept kwamba askari wake alimfunua shuka iliyokuwa imefunika mwili wa marehemu Whitney na akasema “Damn. She’s still looking good. Huh?

. Vituo vya kisheria vinasema kwamba mashataka hayo hayana mantiki yoyote na kwamba polisi huyo hakusema neno lolote kuhusu mwili wa marehemu. TMZ wamejaribu kuwasiliana na Ray J lakini hwakufanikiwa..endelea kufuatilia hapa hapa utapata zaidi kuhusu story hii..

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog