Monday, July 15, 2013




                                Xavi akiwa na mkewe Nuria Cunillera 
Htimaye kiungo wa Klabu ya Barcelona ya Hispania Xavi Hernandez ameamua 
kuachana na ukapela kwa kumuoa mchumba wake wa muda mrefu Nuria Cunillera, 
ndoa iliyofungwa siku ya jumamosi usiku huku ikihudhuriwa na wachezaji wenzake akiwemo gwiji Lionel Messi.
Shuhudia jinsi mambo yalivyokuwa katika picha

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog