Friday, July 5, 2013




Leo ni siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya na biashara haramu ya dawa hizo. Umoja wa Mataifa umeitenga siku hii kuuhimiza ulimwengu kupambana na janga hili ambalo linaathiri hasa vijana kote duniani.





 Ni jukumu la kila mmoja kupambana na dawa
Bado kiwango cha matumizi ya dawa kama vile Heroin, cocaine na amphetamine hakijashuka lakini mtindo huu wa kuwepo kwa aina mpya za dawa za kulevya unatia wasiwasi.
Takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya HIV kupitia kujidunga sindano miongoni mwa waraibu wa dawa za kulevya ilikuwa milioni 1.6 mwaka 2011.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog