Saturday, July 6, 2013

Maandalizi ya maonyesho ya sabasaba yanavyoendelea jijini Dar es Salaam




 Afisa Mauzo ya Nje wa NMB Martin Nshunju akipata maelezo ya SmartBoard Kutoka Kwa Mfanyakazi wa Kitengo Cha Kompyuta Cha Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam (UCC) Smartboard hizo zinauzwa na Kitengo cha Komyuta Cha Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UCC).



 Mfanyakazi wa NMB Bi Maana Katuli akipata Maelezo katika banda la Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam lililopo ndani ya Viwanja vya Sabasaba.




 Wafanyakazi wa Kampuni inayouza bidhaa za SHARP wakizunga ndani ya viwanja vya sabasaba.


Mfanyakazi wa Kampuni ya EAG Group akitoa Maelezo juu ya Simu aina ya Motek.


0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog