Saturday, August 15, 2015


Mbele ya Mashabiki 75,000
Bayern Munich wameanza msimu mpya wa Bundesliga 2015/16 vyema baada ya kuwachapa Hamburg SV bao 5-0, Bao za Bayern zilifungwa na Medhi Benatia dakika ya 27 ya kipindi na chanza na kipindi cha pili ndipo walizidi kuishindilia timu hiyo bao nne la pili likifungwa na Robert Lewandowski dakika ya 53, Thomas Müller alifunga bao mbili dakika ya 69 pamoja na lile la dakika ya Thomas Müller 73 na kufanya 4-0. Bao la tano lilifungwa na Douglas Costa dakika 87 na kufanya 5-0 na mtanange kumalizika kwa dakika 90 Bayern wakiibuka na ushindi mnono wa kufungulia msimu mpya wa Bundesliga 2015/2016.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog