Saturday, August 15, 2015


Januzaji akishangilia bao lake1-0 Man United Mbele!!1-0Furaha kwa Bao la Januzaj dakika ya 29Mpaka ndani ya nyavu!!

Shangwe!Januzaj akipongezwa na baadhi ya wachezaji wenzake wa United baada ya kuipa bao la kuongoza kipindi cha kwanza. Bao hilo pia liliweza kudumu hadi kipindi cha dakika 90 na kufanya United kuibuka kidedea kwa bao hilo la Januzaj kwa ushindi wa bao 1-0 na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu England kwa kufikisha pointi 6.Januzaji dakika ya 29 kipindi cha kwanza anaipa bao la kwanza Man United kwa kufanya 1-0 dhidi ya wenyeji wao Aston Villa. Bao hilo lilidumu mpaka kipindi cha kwanza cha dakika 45 za kipindi cha kwanza United wakiwa mbele ya bao 1-0.Michael Carrick nafasi yake ilichukuliwa na Bastian Jordan Amavi akichuana chini dhidi ya Ander HerreraMeneja  wa Man United Van GaalDepay akipagawa baada ya kukosa bao la wazi kipindi cha piliMkongwe Michael Carrick akiendesha mpira Depay akichuana vikali usiku huu

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog