Sunday, July 19, 2015


AZAM FC imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao 1-0 jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mfungaji wa bao hilo la pekee ni  Nahodha, John Raphael Bocco Kipindi cha kwanza na Kipindi cha pili hakuna aliyeziona nyavu za mwenzake.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog