Friday, April 10, 2015


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akikabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezahji wa zamzni akiwa kocha Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni  iliyofanyika jana Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na Rais.[Picha na Ikulu) CRU2

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog