Saturday, March 7, 2015


Baada ya kuliteka na kulikamata vyema soko la muziki wa jana na hata leo, Mwanamuziki mwenye mafanikio kutoka nchini Uganda Jose Chameleone ameachia hewani mkwaju wake mpya na safari hii akivuka mipaka hadi nchini Nigeria, na sasa ana mshirikisha msanii toka pale anaitwa Pato Ranking.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog