Saturday, September 6, 2014

15
Mwenyekiti wa Azam fc, Said Muhammad Said (wa pili kulia) akipokea jezi mpya kutoka NMB
BENK NMB imeingia mkataba wa udhamini wa miaka miwili na mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc, utaohusisha gharama za usafiri na baadhi ya nyingine za uendeshaji wa timu.
Mwenyekiti wa Azam fc, Said Muhammad Said amewaambia waandishi wa Mjengwa blog  makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo, Azam Complex, Mbande, Chamazi, nje ya jiji la Dar es salaam kuwa mkataba huo utaanza utekelezaji mara moja

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog