Thursday, September 4, 2014


Wayne Rooney akifunga bao lake kwa mkwaju wa penati kipindi cha pili baada ya kwenda 0-0 kipindi cha kwanza.
Rooney akishangilia baada ya kuitanguliza England mbele ya bao 1-0Rooney akishangilia bao lake la penati dakika ya 68 na Jordan Henderson akipongeza pia..
Wayne Rooney akimiliki mpira dhidi ya mchezaji wa  Norway Mats Daehli.
BAO la England lilifungwa na Wayne Rooney kipindi cha pili kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 68 baada ya mchezaji wa England Sterling kuangushwa ndani ya box na Omar Elabdellaoui wa Norway.
Wayne Rooney nafasi yake ilichukuliwa na Danny Welbeck katika dakika ya 79 kipindi cha pili.
Taswira ya mchezo wa  England na Norway kwenye Uwanja wa  Wembley mbele ya mashabiki. Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa 0-0 England ni dhidi Norway

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog