Wednesday, September 24, 2014


Wachezaji wa Southampton wakipongezana baada ya kuifunga bao la pili Arsenal kwenye Uwanja wao wa Emirates, Bao lililofungwa na Nathaniel Clyne dakika ya 40 kipindi cha kwanza.Nathaniel Clyne akifunga bao la pili.2-1Kipindi cha Kwanza dakika ya 14 Alexis Sánchez aliwapatia bao la kwanza Arsenal kwa frii kiki na kufanya bao kuwa1-0 dhidi ya Southampton.

Dakika ya 20 Dusan Tadic aliisawazishia bao Southampton kwa mkwaju wa penati na kufanya 1-1. Dakika ya 40 Nathaniel Clyne aliongeza bao la pili kwa shuti kali na kufanya 2-1 dhidi ya wenyeji Arsenal.Southampton wameenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 2-1 dhidi ya Arsenal.

MATOKEO TIMU NYINGINE:
Arsenal 1 v 2 Southampton
Cardiff 0 v 3 Bournemouth
Derby 2 v 0 Reading
Leyton Orient 0 v 1 Sheffield United
Liverpool 2 v 1 Middlesbrough
MK Dons 2 v 0 Bradford
Shrewsbury 1 v 0 Norwich
Sunderland 1 v 2 Stoke
Swansea 3 v 0 Everton 

Fulham 2 v 1 Doncaster

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog