Wednesday, May 14, 2014


FERNANDO TORRES
FERNANDO TORRES AKIWA NA KIATU CHA DHAHABU BAADA YA KUIBUKA MFUNGAJI BORA WA MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA YALIYOFANYIKA MWAKA 2010 NCHINI AFRIKA YA KUSINI

Mchezaji aliyepoteza uelekeo katika klabu ya chelsea fernando torres amejumuishwa katika kikosi cha awali cha uhispania kitakachoshiriki mashindano ya kombe la dunia nchini brazil mwezi wa sita 2014.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog