Sunday, May 4, 2014


Jubilant: Napoli's players celebrate with the Coppa Italia trophy after beating FiorentinaNapoli wameichapa Fiorentina Bao 3-1 na kutwaaTaji lao la 5 la Coppa Italia kwenye Fainali iliyochelewa kuanza kwa Dakika 45 kufuatia Mashabiki Watatu kupigwa risasi karibu ya Stadio Olimpico Mjini Rome, Italia ambako Fainali hiyo ilichezwa.
Let me hold it: Napoli hole the Coppa Italia trophy aloft after the win in Roma
Bao mbili za Mchezaji wa Kimataifa wa Italy, Lorenzo Insigne, ziliifanya Napoli iende Mapumziko ikiwa Bao 2-1 mbele huku Bao la Fiorentina likifungwa na Juan Manuel Vargas.
Double: Napoli's Lorenzo Insigne (second right) celebrates with his team-mates after scoring against Fiorentina
Dries Mertens aliifungia Napoli Bao la 3 katika Dakika za Majeruhi.
Napoli walimaliza Mechi hii wakiwa Mtu 10 baada Mchezaji wao Gokhan Inler kutolewa kwa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 79 baada ya kulambwa Kadi za Njano 2.

Main man: Insigne (left) scored twice during the Italian Cup final match at the Olympic Stadium
Mechi hii ilikuwa hatarini kufutwa kufuatia Mashabiki Watatu kupigwa risasi kutokana na vurugu za Mashabiki.
Proud: Napoli boss Rafa Benitez (left) spends some time with the trophy after the final whistle
Kocha wa Napoli, Rafa Benítez, aliongea baada ya Mechi: “Ilikuwa Mechi safi. Tulianza vyema lakini walipopata Bao lao na sisi kuwa Mtu 10 ilibidi tujikaze tushinde.
Controversial: Napoli fans threw flares onto the pitch before the match kicked-off
Hii ni mara ya 5 kwa Napoli kutwaa Coppa Italia na mara ya mwisho ni Mwaka 2012.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog