Thursday, November 21, 2013

Muonekano mpya wa Staa wa Bongo Movies,Vincent Kigosi’Ray’ umezua utata baada ya

mashabiki wake kuponda tattoo zake alichora huku wengine wakimpongeza kuwa amependeza.
Umechukiza vibaya mno delphinamkamba Acha Uswahili piga Kazi Kaka!!! Mbona Marehem Kanumba Alisemwa SN??? AU Umesahau Superstar Jalala!???? Kanumba alisemwa sana Lkn Aliyaacha YA ulimwengu Akapiga Kazi Ndio maana mpaka Leo Katangulia Mbele YA Haki Lkn Kazi Zake Zinakubalika.Then kwa Ushaur Wangu Wenzio Wanapambana Na Kusaka Kitu Gani Wazidishe Waachengue Mashabiki wewe Uko Busy Na Mapenzi Hyo Sio kaka NI Ushaur Tuu Kaka Kwakua nA kukubali Unawafanya Watu Tuliokua Tunakuheshim Tukushushe Thaman Achana Na Hivyo Vitu kaka!!Au Chagua mmoja umtambulishe ili Heshima Iwepo Wasikushushe Thaman Bwana!

• kennedymathew Tatoo hazijakaa vizuri. 2d • shadyasuleiman You look like shoga meen 1d
sherrylishizers Hujapendezaaaaa mfashist Yani mwili kama daftari la stadi za kazi lol.....punguza hayo madude asee
bawilid Tatoo aikupendezi ata,,,,,remain the way u r
wengine walimpongeza • evanbluetooth Unastahili kuwa Best Actor Tanzania kuanzia xaxa mpaka mika 4 ijayo....u got something special work on that Broda.. 4d • shollah I like u bt the way u luk i dn 3d • storycreator11j Ni kazi tu na kutaka kuwa tofauti ndicho kilichokuweka hvyo sio mbaya!! Big up! 2d • violethduncun Fanya kitu roho inataka big up 2d

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog