Thursday, June 30, 2016



Meneja wa kituo cha kusimamia wasanii ‘Mkubwa na Wanae’ Said Fella ameelezea ndani ya miaka mitano kituo chake kimefanya kitu gani kwenye tasnia ya Bongo Fleva na mabadiliko yaliyoonekana.
Mpaka sasa hivi Mkubwa na wanae ina miaka mitano na kuna vitu vingi vilivyofanyika na watu wanaona,  nimekuwa na kituo ambacho kinakuza wasanii na watu wananipa hongera, kikubwa kwenye suala la kukusanya wasanii mpaka kuwaongeza lazima kutakuwa na changamoto cha msingi kujua wapi pa kuanzia na pa kuelekea’- Mkubwa Fella

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog