Wednesday, June 29, 2016


Mgodi wa dhahabu wa Geita ‘GGM’ June 28 umetoa vifaa vya msaada katika hospitali ya Muhimbili vyenye thamani ya shilingi milioni 23 ili kusaidia jitihada za serikali katika kuboresha huduma za afya katika kitengo cha watoto Muhimbili.
Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Bp Mashine 10, Infusion Pump 2, Thermometers 110, Standing weghing scale 6, lying down weghing scale 6, nebulises 3 na pulse oxymeter. GGM imechangia ili watoto na kina mama wanaofika hospitalini hapo kupata huduma hizo muhimu

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog