Tuesday, January 5, 2016


Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii Kenya wakati ambao vilabu vya Chelsea na Man United vikitajwa kwa kiasi kikubwa kumuhitaji kocha huyo kwa ajili ya msimu ujao.
CXyZFP-WYAAvYTJ
Lakini Man City wanatajwa kuingia nae mkataba wa awali. Pep Guardiola ambaye aliwahi kuifundisha klabu ya FC Barcelona na sasa FC Bayern Munich ya Ujerumani amethibitisha kuwa hatoendelea kuifundisha Bayern Munich baada ya msimu kumalizika, hivyo wengi wanasubiria ataenda kuifundisha klabu gani baada ya FC Bayern Munich?
1919039_621862621288508_8491208548875364896_n
CXuOrMiWYAArySp
CXuOumqWMAASXK9

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog