Tuesday, November 17, 2015


Dakika ya 1 tu Tanzania walikuwa wameshapigwa bao na Yacine Brahimi kwenye marudiano ya mchezo wao wa Kitaifa wa kirafiki wakiongozwa na Refa Neant Alioum kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker, El Bouleïda (Blida) Algeria.

MAGOLI:
Goli la kwanza limefungwa dakika ya 1 na Yacine Brahimi
la pili likifungwa dakika ya 23 na Faouzi Ghoulam, Bao la tatu dakika ya 43 limefungwa na Riyad Mahrezna hivyo kwenda mapumziko Tanzania ikiwa nyuma ya bao 3-0 nyuma ya Wenyeji
wao Algeria. Bao la (4)nne limefungwa na Slimani islam kwa mkwaju wa penati dakika ya 49 na kufanya Algeria kuongoza bao 4-0.
Faouzi Ghoulam alifunga tena bao kwa mkwaju wa penati dakika ya 59. Dakika ya 72 bao tena kupitia kwa Carl Medjani. Dakika ya 75 Slimani islam anaifungia bao la 7 na kufanya 7-0(Agg 9-2).


KADI ZA NJANO:
Farid Mussa, Himid Mao, Kelvin Patrick Yondani, Haji Mngwali, Mudathiri Yahya na dakika ya 41 tena Mudathiri Yahya alifanya rafu tena na kuoneshwa kadi ya njano ya pili na kutolewa na mwamuzi Neant Alioum kwa kadi nyekundu.
Kipindi cha pili dakika ya 48 Nadir Haroub alioneshwa kadi ya njano. Dakika ya 57 Aishi Manula nae analambishwa njano.


RED KADI: 
Mudathiri Yahya Dakika ya 41

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog